Exodus 38:1

Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa

(Kutoka 27:1-8)

1 aAkatengeneza madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa mbao za mti wa mshita, kimo chake dhiraa tatu;
Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
nayo ilikuwa mraba, urefu wake dhiraa tano, na upana wa dhiraa tano
Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
Copyright information for SwhKC